Our Feeds

Saturday, 20 February 2016

Unknown

TANZIA: KATIBU MKUU WA SHIRIKISHO LA SOKA ZANZIBAR AFARIKI DUNIA

Yatosha

Zanzibar_Football_Association.svgNa Martha Magawa, 

Zanzibar

Aliyekuwa katibu mkuu wa ZFA taifa Pemba ABDALLAH SULEIMAN SHARIF amefariki mchana huu mara baadaya kuanguka ghafla wakati alipokuwa akiendelea na zoezi la usimamizi wa ujenzi wa nyumba yake iliyopo mtambwe wilaya ya wete mkoa wa kaskazini Pemba.

Mara baadaya kuanguka alikimbizwa hospitali kuu ya Wete na baadaya ya vipimo alionekana tayari amekwisha fariki.

Subscribe to Mtembezi Sports via Email :
Previous
Next Post »