Na Amini Nyaungo
Edin Hazard ndie mmliki wa Tuzo ya Mchezaji bora wa Mwaka wa England ambayo iliipata msimu uliopita na mchezaji chipukizi amechukua Harry Kane kama una fuatilia mpira mwaka huu yamerudi tena nani nani wameingia katika kinyang'anyiro hiko?
MCHEZAJI BORA WA MWAKA ENGLAND (PFA)
Harry Kane amechaguliwa katika vipengele viwili mchezaji bora wa Mwaka na mchezaji Bora kijana huyu anatokea Tottenham Spurs.
Mesut Ozil naye ameingia katika kogombania mchezaji bora wa mwaka hii ilitokana na usaidizi wake wa kupatikana kwa mabao (Assist) amesaidi 18 zimebaki mbili aifikie Rekodi ya Thiery Henry.
Wengine wanao Gombania uchezaji Bora wa mwaka ni
N'golo Kante
Dimitr Payet
Jamie Vardy
Riyad Mahrez
Wakati wachezaji vijana wamechaguliwa
Dele Alli
Harry Kane
Jack Butland
Phillipe Coutinho
Romelu Lukaku
Ross Barkley
Washindi mara 8 katika misimu 11 iliyopita wametoka Manchester United Liverpool na Chelsea.