Our Feeds

Monday, 11 April 2016

Unknown

BINGWA WA OLIMPIKI ATAKA KUZICHAPA NA TYSON

Na Albogast Benjamin
Bondia Anthony Joshua amesema sasa macho na akili zake anazielekeza kwa bondia Tyson Fury hii ni baada ya kushinda mkanda wa IBF wa dunia uzani wa Heavyweight siku ya Jumamosi na katika raundi ya pili ya mtoano ya dhidi ya mpinzani Charles Martin.
Mwingereza huyo mwenye umri wa miaka 26 ambaye ni bingwa wa Olimpiki amesema sasa anahitaji kupambana na bondia Fury na kuendelea kutetea mataji.

Tyson Fury

Subscribe to Mtembezi Sports via Email :
Previous
Next Post »