Our Feeds

Saturday, 2 April 2016

Unknown

FULL TIME: COASTAL UNION YAPIGWA 4-0 NA MBEYA CITY, MATOKEO MENGINE YAKO HAPA


Na Amin Amali

Ligi kuu ya Tanzania Bara imeendelea leo viwanja viwili vimewaka moto Coastal Union inaonekana jahazi kuzama kwani imekubali kichapo kutoka kwa wana wa jiji la Mbeya,ambapo Mbeya City imempa kichapo Coastal Union magoli 4-0

Hayo yakiendelea kule Shinyanga Mwadui imekubali kunywa maji ya miwa ya Mtibwa Sugar mabao 2 kwa 1.

Ligi hiyo inaendelea kesho Yanga atawakaribisha Kagera sugar wakati Azam atacheza watache na Toto Africans.

Katika hatua nyingine vijana wa  Tanzania wenye chini ya umri wa miaka 17 wameichapa Misri mabao 2-1

Subscribe to Mtembezi Sports via Email :
Previous
Next Post »